top of page

Waalimu
Kambi ya Gasorwe au Kambi ya Wakimbizi ya Gasorwe, ina shule ya watot wadogo sana "Kipusa", na shule ya msingi na shule ya upili.
Katika historia ya shule hizo, tumepata waalimu wengi na wa ujuzi tofauti. Miongoni mwao tuna mwalimu mkongwe, Muhasha Bitingingwa, Mukome Kabemba Leonard ambao hadi sasa sifa na umaarufu wao waendeleya. Na zaidi ya wazee hao kuwa waalimu, waliaminika kuwa na wengi kuwa wazee wa busara na washauri wakubwa. Hadi sasa shuhuda zao zadumu.
Tumewapata viongozi mbalimbali wa shule hizi ambao tutaingilia kiundani zaidi.
bottom of page