top of page
  • White Facebook Icon
  • White Twitter Icon
  • White YouTube Icon
  • White Instagram Icon

Mradi wa kuhamisha watu katika Nchi za Ng'ambo

Dernière mise à jour : 22 juil. 2020



Kambini Gasorwe; baada ya watu kuishi muda mrefu wakiwa na matarajio wakurejea nchini mwao, yaani DR Congo; wengi walishtushwa na mwazo wa mradi wa kuhamisha watu katika Nchi za Ng'ambo. Kwa wengi lilikuwa ni jambo geni sana sababu hata usafiri kuelekeya Nchi tofauti na Nchi yetu hayakuwa mawazo ya watu. Baada ya mradi wenyewe kuanza, ndiposa wengi wakawa na ufahamu zaidi na hata ikawa ni ombi la kila mmoja kuwekwa kwenye orodha wa hao watao safiri.

 
 
 

1 Comment


Ayivugwe Kabemba
Ayivugwe Kabemba
Sep 12, 2020

Asante sana kwa kutupasha habari hizi

Like
bottom of page